Habari

Umoja wa Ulaya waionya Uingereza 

Kiongozi wa Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen ameionya Uingereza kwamba ina wajibu wa kuheshimu makubaliano ya kuondoka Umoja wa Ulaya, Brexit, ambayo yanapaswa kuweka misingi kuhusu uhusiano wa baadaye.

Brexit: Von der Leyen warns UK on access to EU markets | News | DW |  08.01.2020

Rais huyo wa halmashauri ya Umoja wa Ulaya amesema anaiamini serikali ya Uingereza katika utekelezaji wa makubaliano hayo ya Brexit na wajibu wake chini ya sheria ya kimataifa na masharti yaliyopo kuhusu uhusiano wa baadaye.

Halmashauri ya Umoja wa Ulaya pia imesema kwamba iko tayari kufikia haraka makubaliano na Uingereza kuhusu uhusiano wa baadaye wa kiuchumi na kibiashara lakini pia umoja huo umesisitiza kwamba makubaliano hayo yatapaswa kuhakikisha haki na ushindani huru.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents