Habari

UN: Lazima tusitishe utengenezwaji wa silaha za nyuklia

Umoja wa Mataifa, Ijumaa itatekeleza mkataba wa kupiga marufuku silaha za nyuklia.

Mkataba wa Kuzuia Kuenea kwa Silaha za Nyuklia unajumuisha ahadi ya kuacha kufanya utafiti, majaribio pamoja na utumiaji wa silaha hizo ambazo ni tishio.

Mataifa yenye silaha za nyuklia hayakutia saini mkataba huo.

Lakini wanaharakati wana imani kuwa hatua hiyo inaongeza shinikizo la kuachana na silaha za nyuklia na katibu wa umoja wa mataifa anaelezea hatua hiyo kama muhimu katika kufikia lengo la kusitisha utengenezaji wa silaha za nyuklia

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents