Tragedy

Updates: Miili ya watu iliyopatikana kwenye ghorofa lililoanguka Dar mpaka sasa ni 21 (Picha)

Miili ya watu iliyoopolewa kutoka kwenye vifusi vya jengo lenye ghorofa 16 lililoanguka jana katikati ya jiji la Dar es Salaam, imefikia 21.

BGkNxjCCQAEyljV

Shughuli za uokoaji zilizoanza jana bado zinaendelea kwa siku ya pili huku kukiwa na taarifa za kuwepo miili zaidi kwenye vifusi hivyo.

Jana Rais Jakaya Mrisho Kikwete alitembelea katika eneo la jengo hilo lililoporomoka lililopo Mtaaa wa Indira Gandhi/Morogoro.

BGhTCALCEAA5EUX

BGhxvZyCAAACKUS

BGj2L20CcAAk2Qh

BGk_iPYCMAA0JzE

BGkGOFQCAAAxCuR

BGkHMJ2CYAAqKHE

BGkhNw7CAAA6hR1

BGkOUrrCIAAEF5U

BGlcQBeCUAA_li0

BGlhHCDCAAEk1YB

BGlHo3LCAAEzet7

BGlKKpQCEAAD_Nd

BGlNk-ACMAIQnCd

BGlTF1nCQAEJ5Sx

BGlTUDmCAAAtzar

BGlvUhpCEAAbSNA

Picha ya watoto waliopoteza maisha kwenye jengo hilo
Picha ya watoto waliopoteza maisha kwenye jengo hilo

2

Picha na Task Force @WaljiAli Twitter.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents