Michezo
USAJILI: Man City yamsajili beki wa AS Monaco
Klabu ya Manchester City imemsajili beki wa AS Monaco, Benjamin Mendy kwa pauni milioni 52.
Aliyekuwa beki wa timu ya AS Monaco akisaini kandarasi mpya na City
Mendy anakuwa beki wa tatu wa pembeni kusajiliwa na Kocha Pep Guardiola kwa ajili ya msimu ujao.
Mpaka sasa City imetumia pauni million 133 kusajili mabeki wa pembeni hali jambo ambalo limekuwa likiwashangaza wengi wadau wengi wa soka.
By Hamza fumo