Michezo
USAJILI: Tambwe asaini Yanga SC
Mshambuliaji wa kimatifa raia wa Burundi, Amis Tambwe ameongeza mkataba wa miaka miwili ndani ya klabu ya Yanga SC.
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Burundi, Amiss Tambwe akisaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Yanga SC
Kwamara ya kwanza klabu ya Yanga ilimsajili Mrundi huyo akitokea Simba SC mwaka 2015 ambapo aliichezea jumla ya mechi 43 na kuifungia mabao 26.
Kabla ya maisha yake kuwa magumu baada ya ujio wa kocha Mzambia, Patrick Phiri akichukua mikoba ya Mcroatia, Zdravko Logarusic
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Burundi na klabu ya Yanga, Amiss Tambwe akishangilia baada ya kufunga goli
BY HAMZA FUMO