Katika dirisha hili la usajili, klabu ya Portsmouth imetangaza kumsajili beki Nathan Thompson kwa mkataba wa miaka miwli.
Na kiungo wa klabu ya Gillingham, Elliot List amekubali kuongeza mkataba wa mwaka mmoja ndani ya klabu hiyo, kwa mkataba huo utamfanya adumu mpaka mwisho wa msimu wa mwaka 2017/18
Mchezaji wa klabu ya Chelsea, Diego Costa Diego Costa amesema anahitaji kusaini kwa miamba ya Hispania timu ya Atletico Madri, mchezaji huyo aliondoka Atletico mwaka 2014
Hawa ni wachezaji 10 waliogonga vichwa vya habari katika dirisha la usajili barani Ulaya siku ya leo
Katika dirisha hili la usajili, klabu ya Portsmouth imetangaza kumsajili beki Nathan Thompson kwa mkataba wa miaka miwli.
Na kiungo wa klabu ya Gillingham, Elliot List amekubali kuongeza mkataba wa mwaka mmoja ndani ya klabu hiyo, kwa mkataba huo utamfanya adumu mpaka mwisho wa msimu wa mwaka 2017/18
Mchezaji wa klabu ya Chelsea, Diego Costa Diego Costa amesema anahitaji kusaini kwa miamba ya Hispania timu ya Atletico Madri, mchezaji huyo aliondoka Atletico mwaka 2014
Hawa ni wachezaji 10 waliogonga vichwa vya habari katika dirisha la usajili barani Ulaya siku ya leo