Michezo

USAJILI: Yanga SC yamaliza hasira kwa Mbeya City, yatoka na kiungo tegemezi

Kiungo nyota wa Mbeya City FC, Raphael Daud amethibitisha kufikia makubaliano ya kusaini mkataba wa kuwatumikia mabingwa wa Ligi kuu soka Tanzania Bara, klabu ya Yanga SC.

Mchezaji wa Mbeya City FC, Raphael Daud

“Nipo katika hatua ya mwisho ya kusajiliwa, nadhani bado na msubiri Kaka angu na wakili wakifika huku kilichobaki ni kusaini hakuna kitu kingine.

“Ndoto yangu ilikuwa nikuchezea Simba au Yanga hivyo ukiangalia ni vilabu vikubwa ambavyo na vinakupa nafasi ya kutoka kwenda kucheza nje ya nchi” amesema Raphael Daudi kupitia kipindi cha Mshikemshike Viwanjani kinachorushwa na Azam TV,.

BY HAMZA FUMO

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents