Burudani

Usher Raymond hana mpango wa kumlipa mtu

Usher Raymond hana mpango wa kulipa fedha yoyote kwa watu waliomshtaki kwa madai ya kuwaambukiza ugonjwa wa ngono.

Kwa mujibu wa mtu wa karibu wa Usher, ameuambia mtandao wa TMZ, msanii huyo hana mpango wa kukutana na mtu yoyote kuhusu jambo hilo.

Hivi karibuni Usher alishtakiwa kwa kumuambukiza na kumlipa mtu ambaye alitambulika kama mbunifu wa mavazi yake kiasi cha dola milioni 1.1 Disemba 28, 2012 kwa kumuambukiza ugonjwa huo unaodaiwa kuwa wazinaa.

Mpaka sasa wanawake watatu na mwanaume mmoja wamejitokeza wakidai kuambukizwa ugonjwa huo na msanii huyo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents