Habari

Utafiti: Mama wa nyumbani wana furaha zaidi kuliko wanaofanya kazi

Utafiti uliofanywa nchini Uingereza umebaini kuwa akina mama wanaokaa nyumbani huonekana kuona maisha kuwa na thamani zaidi kuliko wale wanaoenda kazini.

600-00934319

Wanawake hao huepukana na hisia za kuboreka, kuchanganyikiwa ama hisia za kutojiona hawana thamani.

Utafiti huo ulibaini pia kuwa watu waliooa/olewa wameridhika zaidi kuliko wale wanaoishi pamoja bila kufunga ndoa na wana furaha zaidi kuliko wale walio single ama waliotarakiana.

shamim-weddinmg-8

Utafiti huo ulitokana na survey iliyofanywa kwa watu takriban 165,000 walioulizwa namna walivyoridhika, wanavyohisi uthamani, furaha ama wasiwasi katika maisha yao.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents