Burudani

Utapenda alichojibu Meninah kuhusu tetesi za kutoa mimba ya Diamond!

Kuna tetesi za miezi kadhaa sasa mtaani (ambazo sisi binafsi hatujaweza kuzithibitisha) kuwa Meninah alitoa mimba aliyopewa na Diamond Platnumz.

MENINA-LA-DIVA

Wawili hao waliwahi kudaiwa kuwa na uhusiano lakini wote walikanusha.

Mtangazaji mahiri wa masuala ya udaku nchini, Soudy Brown kupitia You Heard ya Clouds FM amejaribu kumchimba Meninah kuhusiana na tetesi hizo ambazo zinaongeza kuwa Diamond alimpiga chini baada ya kiumbe chake kukatishwa.

Hata hivyo huenda jibu alilopata mtangazaji huyo hakuwa amelitegemea.

“Kwani (Diamond) sio rijali,” alihoji mrembo huyo. “Yeye hafai kumbebesha mwanamke mimba,” alisisitiza Meninah huku akicheka.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents