Habari

UTEUZI: Rais Magufuli amteua Ng’wilabuzu Ndatwa Ludigija kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemtaua Bw. Ng’wilabuzu Ndatwa Ludigija kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala, akichukua nafasi ya Bw. Mussa Ramadhan Chogelo aliyepangiwa kazi maalum katika Ofisi ya Rais.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents