Habari
Uturuki: Takribani watu 19 wafariki na wengine 300 wajeruhiwa katika tetemeko la Ardhi
Uturuki: Takribani watu 19 wafariki na wengine 300 wajeruhiwa katika tetemeko la Ardhi
Tetemeko lenye ukubwa wa 6.7 katika kipimo cha Richa limetokea Elazig, Mashariki mwa Uturuki na kusababisha vifo vya watu 19 na kuwajeruhi watu wengine zaidi ya 300
–
Taarifa iliyotolewa na Shirika linalohusika na kutoa huduma ya kwanza katika Matukio ya Dharura (AFAD) imefahamisha kuwa idadi hiyo ya waliofariki inaweza kuongezeka
Na Jacquiline Ngoya