Burudani
Vanessa Mdee atoa kava la single mpya ‘Monifere’ f/ Gosby na Jux
Single ya pili ya Vanessa Mdee inaitwa Monifere na amewashirikisha rapper wa B’Hits, Gosby na muimbaji wa Wakacha, Jux. Vanessa aka Vee ameshare kava la ngoma hiyo iliyotengenezwa kwa ushirikiano wa Hermy B, Pancho na Randy.