Burudani

Vanessa Mdee na Navio wafanya hili kwa siri

Ulijua baada ya kukutana kwa Vanessa Mdee na Navio kutoka Uganda ndio imeishai pale? Basi kaa tayari kwa wimbo mpya kutoka kwa wasanii hao.

Wawili hao wameonekana tayari kuna kitu wameshakiandaa kwa ajili ya mashabiki wao kutokana na baadhi ya picha walizoziweka kwenye mitandao yao ya kijamii.

Vanessa ambaye wiki iliyopita alionekana akiwa nchini Uganda na kukutana na rapper huyo, ameweka picha kadhaa kwenye mtandao wake wa Instagram zikiwaonyesha wakiwa location wakishoot video ya wimbo wao huo.

Hizi ni baadhi ya picha zinazoonyesha wawili hao wakiwa wanashoot video hiyo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents