Burudani
Venture atoka kwenye ukapera
Dj Venture aachana na ukapera na hatimaye afunga ndoa na Benadina katika kanisa lililopo Mikocheni B jijini Dar es salaam la mtakatiufu Martha.
Harusi hiyo ilikamilishwa kwa shangwe na vigeregere baada ya kila mmoja kudondoka sahihi ya cheti cha ndoa na kukiri kwamba sasa ni mke na mume. Ongera Boniventure Kilosa, Mungu akupe maisha marefu ya ndoa yenu…