Burudani
Video: Agnes Masogange akitoka mahakamani leo
Kesi ya Video queen, Agnes Gerald maarufuku kama ‘Masogange’ ya utumiaji dawa ya kulevya imeahirishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mpaka January 17 kutokana na Mawakili wake kuchelewa kumuandaa kwa ajili ya kujitetea katika kesi inayomkabili. Tazama video hii: