Michezo
Video: Akilimali akwamisha mabadiliko Yanga SC
Mwenyekiti wa matawi wa klabu ya Yanga SC Tanzania, Bakili Mohammed Makele amemtaka mwanachama wa timu hiyo Mzee Yahaya Akilimali kuachana na malalamiko na badala yake kuwa kitu kimoja katika kuhakikisha wanajangwani hao wanafanikiwa kufikia mafanikio ya mchakato wa mabadiliko.
“Malalamiko yaliyoenda serikalini yakiongozwa na Mzee wetu Akilimali nikwamba wanachama wa Yanga tuliyofanya uchaguzi tarehe 11 ya mwezi wa 6 mwaka 2016 haukua halali maanake kwamba kuna kadi za posta hazikuwa halali kitu ambacho si sahihi.” Amesema Bakili Makele
Mzee Akilimali ninani ndani ya Yanga SC mabadiliko lazima