Nahodha wa klabu ya Simba, John Bocco amesema kuwa timu ya Al-Masry ipo vizuri na inamwenendo mzuri ndani ya ligi yao na hata katika michuano ya kimataifa ila anaimani kuwa wataifunga kwakuwa wana kikosi bora msimu huu. https://youtu.be/Rysl3rPGi2w