Habari

Video: Ali Choki akifafanua kwanini tuzo za Kili zina kasoro

Wakati ambapo wadau wa muziki wanasubiri kwa hamu majina ya wasanii watakaotajwa katika vipengele mbalimbali vya tuzo za Kili mwaka huu, mkurugenzi na kiongozi wa bendi ya Extra Bongo, Ali Choki amezikosoa tuzo hizo na kudai kuwa namna zinavyoendeshwa zimemfanya akatae kuhusishwa. Mtazame kwenye video akielezea kasoro hizo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents