Michezo
Video: Alikiba aishushia neema Coastal Union ‘nimekuwa mdhamini mkuu kupitia kinywaji changu cha Mo Faya’
Mwanamuziki wa Bongo na mchezaji wa Coastal Union ya Tanga, Alikiba amekuwa rasmi mdhamini mkuu wa timu hiyo kupitia kinywaji chake cha Mo Faya.
Kupitia mahojiano yake na Azam Tv msanii huyo anayetamba na kibao cha Mvumo wa Radi amesema kuwa ameamua kuidhamini Coastal Union ili kuisaidia kurudi katika ubora wake, kwa hiyo kupitia udhamini huo anaamini utaisaidia kufikia malengo.
Mofayaa
King
ok
Kuna kucheza mpira kweli hapo?
duh
King
Huyo ndo mdhamini wa team na wala so mchezaji. Mi nilishtukia mapema sana. Fanya utoe ngoma acha sie tu #jibebe huku maana so poa
Nakuaminia Kingkiba baba wa maakili mingi kitu Mofaya
Hongera king kiba