Bizzare

Video: Baba akamatwa na mwanae akifanya mapenzi na kuku

Nchini Kenya katika kijiji cha Kigwandi, wilayani ya Tetu, mwanaume mmoja anashilikiliwa katika kituo cha polisi baada ya kufumaniwa akifanya mapenzi na kuku.

ISHU

Mwanamume huyo mwenye umri wa zaidi ya miaka 50 alikamatwa akifanya kitendo hicho na kuku juzi jioni na mwanae mwenye umri wa miaka 10 aliyeamua kumwita kaka yake na ndipo ikasaidia kukamatwa kwa mtu huyo.

Kaimu afisa mkuu wa polisi katika eneo hilo, Joseph Mwika alisema mtoto wa jamaa huyo alimuarifu ka’kake mkubwa baada ya kumfumania babake akifanya kitendo hicho na wawili hao walimripoti baba yao kwa chifu wa eneo hilo ambaye alimkamata na kumpeleka katika kituo cha polisi.

Source: Standard Digital News

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents