Burudani

Video: Bahati wa Kenya amfagilia Diamond kwenye hili

Msanii wa muziki wa injili kutoka nchini Kenya, Bahati ambaye pia ni mmiliki wa lebo ya EMB, amemfagilia Diamond Platnumz kwa kuwa msanii wa kwanza Afrika Mashariki kuanzisha lebo yake ya muziki ya WCB na kuisimamia mpaka imeweza kufahamika sehemu mbalimbali.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents