Burudani
Video: Barakah The Prince asaidiwe kuandika nyimbo – Bright
Msanii wa muziki Bongo, Bright amesema Barakah The Prince asaidiwe kwa namna yoyote ile katika uandishi wa ngoma zake kutokana na baadhi ya maneno kujirudia.
Muimbaji huyo ametolea mfano neno ‘Moyo’ kwa kusema limekuwa likijirudia mara nyingi katika ngoma za Barakah hadi anashindwa kuelewa iwapo ana tatizo la moyo.