Burudani
Video: Black Rhyno aiongelea ngoma mpya ‘We Get It On’ aliyofanya na Wasouth
Black Rhyno amepita kwenye studio za Bongo5 kutueleza kuhusu kazi yake mpya aliyowashirikisha rapper wa Afrika Kusini Ishmael & Youngboi Veezo, We Get it on. Ngoma ilitayarishwa na Dj Leo Large.
Itazame ngoma hiyo hapo chini.
https://www.youtube.com/watch?v=-vrVBdbjbJA