Burudani
Video: Chin Bees, Diamond, Vanessa na Wakazi wanavyonufaika na albamu
Zikiwa ni wiki kadhaa zimepita tangu kuachia albamu yake mpya ‘Ladha’, Chin Bees ameeleza faida wanazopata wasanii wanaotoa albamu kipinid hiki. Miongoni mwa wasanii walitoa albamu kwa mwaka huu ni pamoja na Vanessa Mdee, Diamond na Wakazi.