Burudani

Video: Diamond na Alikiba ni kama Simba na Yanga, waachwe – Nape

Mbunge wa jimbo la Mtama kupitia tiketi ya CCM, Nape Nnauye amefunguka kwa kunanusha kushindwa kuwapatanisha wasanii Alikiba na Diamond ambao wanadaiwa kuwa na bifu kwa muda mrefu. Amesema wakati akiwa Waziri wa Habari alitaka kutumia timu ya Serengeti Boys kwaajili ya kuwaonganisha wasanii hao lakini ndoto hiyo ilishindikana baada ya kuvuliwa nafasi hiyo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents