Uncategorized
Video: Diamond na AY hawajazi uwanja, nikisema Simba ndiyo klabu kubwa nchi hii wanakasirika – Haji Manara
Msemaji Mkuu wa Klabu ya Simba, Haji Manara amesema kuwa hakuna timu yoyote nchini yenye uwezo wa kuingiza mashabiki wengi zaidi kama wanavyo fanya wao huku akienda mbali zaidi na kusema hata wasanii pendwa Diamond na AY hawawezi kufanya hivyo.