Burudani
Video: Diamond Platnumz alitafuta kiki kuhusu safari ya Afrika Kusini kwenye Birthday ya Tiffah – Shamsa Ford
Msanii wa filamu Shamsa Ford, amedai kuwa msanii wa muziki Bongo, Diamond Platnumz alikuwa anafanya kiki kwa kudai watu watasafirishwa kwenda nchini Afrika Kusini kwenye sherehe ya birthday ya mtoto wake Tiffah.
Dada,umenena leo kabisa…hongera xana
Hata mimi Nilikuwa najiuliza hao watu waliolipiwa ticket na kila kitu kwa ajili ya birthday wameishia wapi mbona kimya? Maana kwa ninavuomjia yule video zingeshaenea youtube yote ingejaa video zake za biethday
Hata sio hadhi yake kuzungumzia hayo mambo.
Alikua anawatania tuu mkaanza kujiandaa na safari 😂😂😂😂
Yani in bongo movies you the first women kuongea ukweli ever seen ,
unamchokonoa angali chidi asije akalia maishani
Wife kagoma zari alikataa maex na Bongo movie kwenda kwake hivi mkeo akikataa wageni unawapeleka kufanya nini alafu Bongo movie haohao kutwa wanamtukana instagram angekuwa chizi awaruhusu kuja SA
Angeitoa wapi hio hela… Mambo mengine mnajiongeza wenyewe
Lakini Zari si mkewe tena walishaachana ila ni mama watoto wake tu ama zile habari ni kiki sio kweli?