Videos
Video: Eric Omondi – Shock Me (Refix)
Mchekeshaji kutoka nchini Kenya, Eric Omondi amekuja tena kuvunja mbavu mashabiki wake kwa kuachia wimbo mpya ‘Shock Me’ ambao ni refix ya wimbo mpya wa Alikiba, Seduce Me. Tazama hapa chini wimbo huo.