Michezo
Video: Goli la kwanza la Samatta na Klabu yake ya KRC Genk dhidi ya Club Bruge
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta jana Feb 28 alifunga bao lake la kwanza katika klabu yake mpya, KRC Genk katika mchezo wa Ligi Kuu ya Ubelgiji wakishinda 3-2 dhidi ya Club Bruge Uwanja wa Cristal Arena, Genk.
Video ya goli la kwanza la Mbwana Ally Samatta katika klabu yake mpya, KRC Genk