Habari
Video: Habari ya CNN iliyowaudhi wakenya wanaojiandaa na uchaguzi
Wakati wananchi wa Kenya wakijiandaa na uchaguzi kesho kutwa, hii ni habari ya kituo cha CNN kilichowaudhi wakenya wengi ikidai jinsi baadhi ya wakenya wakijiandaa na silaha kabla ya uchaguzi huo.