Mahojiano

Video: “Hakuna wa kushindana na Diamond, Wakenya wanataka kumshusha Harmonize, Hii ndio list ya wasanii wabovu Tanzania” – TID

Video: "Hakuna wa kushindana na Diamond, Wakenya wanataka kumshusha Harmonize, Hii ndio list ya wasanii wabovu Tanzania" - TID

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Khalid Mohamed alimaarufu TID amefunguka mengi kuhusu muziki wa bongo Fleva hasa akiongelea kuhusu maendelo ya baadhi ya wasanii wanaoupeleka mbele muziki wa Bongo Fleva mbele.

Akiongea na Bongo5 TID ameongelea kuhusu orodha ya wasanii watano aliodai wabovu Tanzania.

Msikilize TID:

https://www.instagram.com/p/B5LVXq8hlLs/

By Ally Juma.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents