Mahojiano
Video: “Hakuna wa kushindana na Diamond, Wakenya wanataka kumshusha Harmonize, Hii ndio list ya wasanii wabovu Tanzania” – TID
Video: "Hakuna wa kushindana na Diamond, Wakenya wanataka kumshusha Harmonize, Hii ndio list ya wasanii wabovu Tanzania" - TID
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Khalid Mohamed alimaarufu TID amefunguka mengi kuhusu muziki wa bongo Fleva hasa akiongelea kuhusu maendelo ya baadhi ya wasanii wanaoupeleka mbele muziki wa Bongo Fleva mbele.
Akiongea na Bongo5 TID ameongelea kuhusu orodha ya wasanii watano aliodai wabovu Tanzania.
Msikilize TID:
https://www.instagram.com/p/B5LVXq8hlLs/
By Ally Juma.