Burudani
Video: Harmonize ameniliza, mwili ulipata ganzi – Ben Pol
Msanii wa RnB hapa Tanzania, Ben Pol amekiri kuwa baada ya kuona ujumbe wa Harmonize kushukuru kuwepo kwenye wimbo wao mpya wa “Why” mwili wake ulipata ganzi na kulia huku akiamini kuwa msanii huyo kutoka WCB Wasafi ni mkubwa hivyo anatarajia makubwa kwenye wimbo huo.