Habari
Video: Hashim Rungwe afunguka tuhuma za kutapeli mamilioni
Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Hashim Rungwe amesema kuwa tuhuma za yeye kumtapeli mfanyabiashara wa korosho sh. milioni 161 si za kweli ni za uongo. Msikilize hapa kwenye video akitolea ufafanuzi tuhuma hizo.