Habari
Video: Hatuwezi kuwaomba wahalifu kuacha uhalifu – Waziri Nchemba
Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa wizara yake haiwezi kuwaomba wahalifu kuacha uhalifu hilo ni jukumu lao, wao kama wizara kazi yao ni kupambana waache wenyewe. Video hii Waziri Mwigulu anaeleza.
Dkt. Nchemba ameyasema hayo wakati akiongea na waandishi mkoa wa Dodoma akitoa muelekeo wa wizara yake kwa mwaka mpya wa 2018 nini kama wizara wamejipanga kufanya.