Burudani
Video: Hizi ndio sifa za mwanaume anayeweza kupata utamu wa Diva
Mtangazaji wa kipindi cha Ala Za Roho cha Clouds FM, Diva The Bawse ameamua kuweka bayana aina ya mwanaume ambaye anaweza akawa naye kwenye mahusiano. Tazama mahojiano hayo ya vigezo hivyo hapa chini kwenye video aliyokuwa akiongea na Bongo5.
Na Laila Sued