Burudani
Video: Irene Uwoya afunguka kuhusu Dogo janja ‘Hakuniomba ushauri kuhusu wimbo wa Banana’
Muigizaji wa filamu Bongo, Irene Uwoya amesema kuwa hakuombwa ushauri na mumewe ambaye ni msanii wa muziki Bongo, Dogo janja kuhusu wimbo wake wa Banana.
Kwa kuwa ‘unampwelepweta’ si ndivyo?!