Videos
Video: Jinsi muimbaji mwenye kigugumizi alivyowakosha majaji wa American Idol 2013
http://www.youtube.com/watch?v=lLdg9FMp7f8
Mkazi wa Florida, Marekani Lazaro Arbos amekuwa na kigugumizi tangu alipokuwa na miaka sita. Hapa anajaribu bahati yake kwenye shindano la American Idol na licha ya kuwa na kigugumizi kikali anawaacha hoi majaji wa shindano hilo wakiwemo Nicki Minaj na Mariah Carey kwa sauti tamu.