Uncategorized

Video: Karen aeleza baba yake Gadner alivyompa masharti kwenye muziki, amtaja Jaydee

Binti Karen ambaye ni mtoto wa Gardner G Habashi mtangazaji mahiri wa Clouds FM, amefunguka kuzungumzia safari yake mpya kwenye muziki huku akidai kwamba ilikuwa ngumu kwa baba yake huyo pamoja na Mama yake kumruhusu kuingia kwenye muziki. Pia muimbaji huyo amemtaja mama yake mlezi, Lady Jaydee jinsi alimfanya kuwamsanii mzuri.

Related Articles

5 Comments

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents