Uncategorized
Video: Karen aeleza baba yake Gadner alivyompa masharti kwenye muziki, amtaja Jaydee
Binti Karen ambaye ni mtoto wa Gardner G Habashi mtangazaji mahiri wa Clouds FM, amefunguka kuzungumzia safari yake mpya kwenye muziki huku akidai kwamba ilikuwa ngumu kwa baba yake huyo pamoja na Mama yake kumruhusu kuingia kwenye muziki. Pia muimbaji huyo amemtaja mama yake mlezi, Lady Jaydee jinsi alimfanya kuwamsanii mzuri.
Karen msani mkari anaekuja kwasi kubwa sana
Anajua Sana uyu binti wakumuangalia
Kaimba nyimbo,,,???? Gani…
Zitafute ya kwaza inaitwa tunaendana 2 inatwa lawama
Au kiulasi zaid adika foby ft kareni utampata