Habari

Video: Kendrick Lamar amchana Meek Mill ‘I have no time for irrelevant ni**as’

Baada ya Meek Mill kumdiss Kendrick Lamar kwenye “Ooh Kill ‘Em,” MC huyo wa Compton amerudisha mashambulizi alipokuwa akitumbuiza kwenye show Williamsburg Park, Brooklyn juzi usiku.

“I been doing this shit for years. I mastered this shit. I have no time for irrelevant ni**as [or] new ni**as,” Kendrick alisikika akisema.

Baada ya habari kuenea, Meek alitumia Twitter kujibu, “King of what? Somebody please tell me.”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents