Msanii wa muziki wa hip hop Bongo kutoka kundi la Weusi, G Nako ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wake mpya wa Nyatu Nyatu amesema kuwa tozo ya milioni tano ni kiasi kikubwa sana huku akizungumzia ‘style’ ya Kikuku kuwa imekuwa ikitumika hata kwa watu jamii ya wamasai.
Join our mailing list to get the latest news!
Related Articles
Check Also
Close
-
MUSIC VIDEO: Jay Malley – BABY3 weeks ago
-
MUSIC VIDEO: Alonto -UNANIONEA4 weeks ago