Habari
Video: Kuna watu wanaogopa hii kazi ninayofanya – Mkurugenzi LHRC
Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu amesema kuwa kazi yake anayoifanya kuna watu wamekuwa wakiogopa lakini yeye amekuwa si mtu wa kuogopa kwasababu ni kazi inayompa uhuru wa kusema na kumpa vile anavyovihitaji. Mkurugenzi wa LHRC kwenye Video hii anaeleza: