Michezo
Video: ‘Kunamagolikipa wamefanya kazi kubwa kuliko mimi” Manula
Golikipa wa timu ya Simba, Aishi Manula amesema kuwa yeye bado chipukizi na umri wake mdogo kwahiyo kutetea kikombe chake ni kutokana na ushirikiano wake wakaribu na wachezaji wenzake.