Burudani
Video: Lady Jaydee aeleza kuachia wimbo atakao rap, na ujio wa albamu yake mpya
Malkia wa muziki wa Bongo Flava, Lady Jaydee ameweka kuhusu kuachia wimbo wake atakao-rap wote, albamu yake mpya. Wakati huo huo Jide amezungumzia mipango yake ya kuongezeka uzito wa kilo 10 aliowahi kutangaza.