Bongo Movie

Video: Lulu kama mwali Mahakamani akiwakwepa waandishi

Muigizaji Lulu akiwa anatoka Mahakamani baada ya kusikiliza maoni ya Wazee wa Baraza. Hukumu ya kesi hiyo ya kuuwa bila kukusudia muigizaji mwenzake Steven Kanumba. Lulu ametoka Mahakamani hapo kama mwali alikwepa waandishi wa habari.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents