Burudani

Video: Makomando wafunguka ishu ya ku-‘shoot’ video nje

Kundi la Muziki la Makomandoo, wanaohit na ngoma ya ‘Anaona Gere’  wamefunguka  juu ya wasanii wa kibongo kwenda kushoot video nje ya nchi huku wakidai kwa kufanya hivyo inasaidia kukuza muziki wa Bongo na inatengeneza connection na wasanii wengine.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents