Burudani
Video: Makomando wafunguka ishu ya ku-‘shoot’ video nje
Kundi la Muziki la Makomandoo, wanaohit na ngoma ya ‘Anaona Gere’ wamefunguka juu ya wasanii wa kibongo kwenda kushoot video nje ya nchi huku wakidai kwa kufanya hivyo inasaidia kukuza muziki wa Bongo na inatengeneza connection na wasanii wengine.