Michezo
Video: Maradona amtandika kofi mwandishi wa habari
Mchezaji wa zamani wa Argentina, Diego Maradona ameibuka na skendo nyingine nchini Argentina baada ya kumzaba kibao mwandishi mmoja wa habari ambaye inasemekana aliongea maneno machafu kuhusu mke wa zamani wa Maradona. Tazama video ya tukio hilo.
http://youtu.be/-J96XPlYd1k