Uncategorized
Video: Mashabiki wa Simba kupelekwa na eskoti ya Polisi hadi Taifa, hizi ndiyo jezi zitakazovaliwa vs JS Saour – Haji Manara
Afisa habari wa klabu ya Simba, Haji Manara amezitambulisha jezi mpya zitakazo valiwa kwenye mchezo wao wa klabu bingwa Afrika dhidi ya JS Saour ya Algeria siku ya Jumamosi.