Michezo

Video: Mashabiki wa Simba wapanga kikosi hiki kummaliza mtani dakika za mapema, ‘Yanga tutamchinja nyuma ya Shingo, sio mbele ya koo’

Mashabiki wa Simba wapanga kikosi kitakacho muua Yanga uwanja wa Taifa Jumapili ya tarehe 8/03/2020. Mashabiki hao wa Tawi la Sweet Corner wamesema Watamchinja Yanga nyuma ya shingo ili kumpatia maumivu na sio mbele ya koo kama ilivyo kawaida kwa mchinjaji.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents