Michezo
Video: Masoud Djuma mambo shwari Simba, birthday yake yafana
Katika kuonekana kama mambo ni shwari ndani ya klabu ya Simba baada ya kudaiwa kutokuwa na maelewano mazuri na baadhi ya uongozi kocha msaidizi wa timu hiyo raia wa Burundi, Masoud Djuma ameonekana akiwa mwenye furaha sambamba na wachezaji wake wakati akisherehekea siku yake ya kuzaliwa.
Hata hivyo Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Simba, Haji Manara alikanusha taarifa hizo na kuziita kuwa za uongo. Djuma kudaiwa kuondoka kwa sababu ya kutofautiana na kocha mkuu Patrick Aussems
Good
hapo tunandaganywa nasema hivi hata
Piga kaz masoud
Mh,mbona #simbasc wanakunywa #AZAMFRUTI? c wanywe mikiafruti😂😂😂